29 May 2010

CONSOLATA LUKOSI ATWAA TAJI LA MISS TABATA 2010

Miss Tabata 2010 CONSOLATA LUKOSI akipunga mkono kwa furaha
Washindi wa Tano bora wakiwa na mshindi wa miss Tabata CONSOLATA LUKOSI katikati
Presha inapanda presha inashuka............Conso na Cythia walipokuwa wanasubiri kusikia nani kati yao atatwaa taji la miss Tabata 2010
Mrembo wa mwaka jana Everlyne Gamassa akimvisha skafu ya ushindi Conso

Miss Tabata 2010 CONSOLATA LUKOSI akipungia mkono mashabiki mara baada ya kutangazwa mshindi katika shindano lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa D`a West Park Tabata jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kulia ni mshindi wa tatu Lilian Andrew na kushoto ni mshindi wa pili Cynthia Bavo.