08 June 2011

LUNDENGA ATEMBELE KAMBI YA MISS TABATA

Muandaaji wa Miss Tabata Fred Ogot akiongea kumkaribisha Mwenyekiti wa kamati wa Miss Tanzania Hashim Lundenga alipotembelea kambi yao Tabata Da` West Park
Mamiss wakiwa katika pozi kali mbele ya kamati ya Miss Tanzania
Miss Tabata wakionyesha Show ya kuikaribisha kamati ya Miss Tanzania
Pozi letu lenye Tabasam la uhakika
Mmetucheki!!!!!!!!!!!!
Mshiriki wa Miss Tabata akimuuliza swali Hashim Lundenga hayupo pichani
Fred Ogot akiteta jambo na mwenyekiti wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundenga

Uhhh wajemini nachoka hebu wekeni mapozi vizuri.....Fred Ogot akiwambia warembo wake

Hashim Lundenga akiwafunda mamiss Tabata kabla ya shindano lao
Show kali kwa kamati ya Miss Tanzania