02 June 2013

NI DORIS MOLLEL REDD'S MISS TABATA 2013









Redd`s Miss Tabata 2013, Doris Molel akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye ukumbi wa Da` West Park Jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Mshindi wa Pili wa shindano hilo Upendo Lema (kulia) pamoja na Mshindi wa tatu, Rachel Mushi.


Redd`s Miss Tabata aliyemaliza muda wake Noella Michael (aliyekaa katikati) akisubiri kwa hamu kubwa kutangazwa mrithi wake

Tano bora Miss Tabata 2013

Kumi bora wakijipanga kwa mchujo wa Tano Bora

Kama The Jacko

Kazi imeuma mrembo wa miss Tabata 2013  akilisakata yenu jukwaani

Warembo waliohudhuria Miss Tabata 2013 wakishangilia

Majaji wa Miss Tabata wakiwa kazini kuchmabua pointi

Viongozi wa Miss Tanzania wakimsikiliza Hoyce Temu aliyewahi kuwa Miss Tanzania



Wapenzi wa mambo ya Warembo wakifuatilia kwa mwakini kinachoendelea jukwaani

No comments:

Post a Comment